Quantcast
Channel: Jukwaa la Elimu (Education Forum)
Browsing all 21927 articles
Browse latest View live

Deadline ya CAS- NACTE applications-2016

Tukumbushane jamani. Deadline inakaribia ya kufunga CAS -NACTE. Deadline ni 31ST MAY, 2016. TUFANYE MAREKEBISHO YA MWISHO. Mwenye taarifa za kusaidia waliiomba katika lala salama hii tufahamishane!

View Article


Naomba kujua ni kweli mwalimu wa degree mwenye carring over anaweza ajiliwa?

habari wana JF i hope ni wazima wa afya ninaswal ninataka kujua b'se kuna mtu kaniuliza nimeshindwa kujua nimeona nikilileta hapa naweza pata majibu hiv mwalimu aliyemaliza degree lakin hakugadurate...

View Article


Msaada kuhusu kozi ya awali ya ualimu (bridging course)

Kuna vyuo vya ualimu vinatoa matangazo kuwa, iwapo mtahiniwa hana sifa za ufaulu kuingia stashahada (diploma) atasoma kozi fupi (bridging course) baada ya hapo atakuwa na sifa ya kuendelea na diploma....

View Article

Post au selection za form five 2016/2017 lini?

Wakuu salamu Naombeni kuuliza lini post zitatoka kwa mwenye tetesi anaweza tuambia pia je wanafunzi wataanza kufanya maandalizi lini na ningependa kujua process za uhamisho ukipangiwa shule hauko...

View Article

Bodi ya mikopo (HESLB) kunani??

Bodi ya mikopo (Heslb) mpaka sasa hawajatoa fomu au maelekezo kwa wahitimu kidato cha sita 2016 na watu wengne wenye uhitaji wa ufadhiri wa masomo kwa mwaka wa masomo 2016/17 tofaut na ilivyozoeleka...

View Article


NAOMBA KUELEWESHWA KUHUSU CHETI CHA FORM FOUR

Habari wana Jf.! Naomba kuuliza kwamba hivi vyeti vya form four huwa vinachukua mda gani kutolewa?

View Article

Msaada kwa aliyewahi kusoma Malawi

habari za saa hizi waungwana najua huku nakutana na wasomi wengi nilikua naomba kujua kama kuna aliyesoma Malawi level yeyoye tuwasiliane kuna mambo mengi ningetaka tuongee na tushauriane pia ni msaada...

View Article

Nini tofauti ya hesabu na Hisabati

tangu ningali mdogo nimekuwa nikiyasikia nakuyatumia maneno haya hesabu' na 'hisabati' lakini naomba nikiri wazi kuwa hadi leo sijui tofauti yake na sijui kama nilikuwa nikiyatumia kwa usahihi,kwa kuwa...

View Article


Natafuta shule ya kufanyia field wilaya ya Ubungo

habari za majukumu wakuu? kama title ya uzi inavyojieleza, mm ni mwalimu-mwanafunzi nasoma baed with math and IT. natafuta shule hususani shule ya binafsi iliyopo ndani ya wilaya ya ubungo kwa ajili ya...

View Article


Mwenye kujua ajira za walimu zitatoka lini anifahamishe plz

Wana JF wenye kujua na wenye uhakika wanisaidie kujua, ajira mpya za walimu zitatoka lini, maana nashindwa kuelewa sababu matamko yamekuwa mengi ila matendo hakuna. Mwenye kujua tafadhali.

View Article

Mada Maalum kwa Wahasibu, Wakaguzi wa Mahesabu na Wataalam wa Kodi

Wanajukwaa, Hapa ndipo tutakua tukishauriana na kupeana habari za mambo tuliyosomea. Karibuni wadau. ========== Ikiwa taaluma muhimu katika ustawi wa jamii nzima, bila mahesabu mazuri ikiwemo mipango...

View Article

Channel Ten – Bodi Ya Tume ya Vyuo Vikuu Nchini Yavunjwa

[Channel Ten – Bodi Ya Tume ya Vyuo Vikuu Nchini Yavunjwa] is good,have a look at it! Channel Ten – Bodi Ya Tume ya Vyuo Vikuu Nchini Yavunjwa

View Article

SUA vs UDSM.

Why similar in classification but differs in marks btn the two. SUA-MOROGORO GRADE -POINT MARKS A: 70 – 100% (4.4 – 5.0) = Excellent B+: 65 – 69.9% (4.0 – 4.4) =Very Good B: 60 – 64.9% (3.0 – 3.9)...

View Article


Aliyesoma CBG combination anaweza kusoma kozi za afya?

Kwa mwenye uelewa wa hili jambo, mtu aliyesoma CBG anaweza kusoma health related courses such as CO, MD Nursing etc.

View Article

Bodi ya Mikopo watafungua lini mtandao wao?

Jamani naomba kujua kama OLAS ni lini watafungua mtandao

View Article


Medical Students Mwaka wa 3 (MD3) wa ST.Francis wote wameachishwa chuo

Jamani hii sio haki kabisa wala sio fair kuwafanyia watu hivi!,Hawa watu wamelipa Ada,wamepoteza mda wao miaka 3 sio mchezo halafu unakuja kuwapa Disco kwa sababu ambazo hazina Mashiko sanaa! Hii ni...

View Article

Utaratibu wa walimu kubadilishana vituo vya kazi

Naomba kuuliza jmn. Utaratibu wa jambo hili ukoje hasa ktk mda wa kukaa kazin. Mf kwa mwalimu mwenye kwaka mmoja kazini anaruhusiwa kubadilishana baada ya kuthibitishwa kazin?

View Article


TAARIFA KWA WAHITIMU WALIOGUSHI MALIPO YA ADA KAMPASI YA DODOMA | College of...

Jionee kizazi hiki kilivyofundishwa ufisadi toka vyuoni,Ajabu na kweli.....sipati picha wakiwa kazini hawa watu.... Yaani mwanafunzi unafoji malipo ya ada? Hawa watu ilibidi wafutiwe vyeti ndio iwe...

View Article

Nursing diploma walioapply

Habarini wanaJF. Hivi kwa wale walio-apply diploma in nursing (in services) kwa ajili ya ku-upgrade mwezi April, kuna ambao walitumiwa email kuwa watume tena barua za udhibitisho wa kazini nk. Ndugu...

View Article

Msaada wenu nahitaji kufahamishwa kuhusu bodi ya mkopo

Wakuu shkanooni!! Mimi ni muhitimu kidato cha nne mwaka 2012 niwe muwazi matokeo yangu hayakuwa mazuri sana Nina C mbili na D kadhaa...... nilikwenda kusoma Sheria UDSM ambapo nilifaulu vizuri.......

View Article
Browsing all 21927 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>