habari za majukumu wakuu?
kama title ya uzi inavyojieleza, mm ni mwalimu-mwanafunzi nasoma baed with math and IT. natafuta shule hususani shule ya binafsi iliyopo ndani ya wilaya ya ubungo kwa ajili ya kufanya field mwezi wa saba! naomba kama kuna mwenye kufaham shule yoyote au mwenye mawasiliano ya shule yoyote inayoweza kunipokea anisaidie tafadhali.
nawasilisha!!
kama title ya uzi inavyojieleza, mm ni mwalimu-mwanafunzi nasoma baed with math and IT. natafuta shule hususani shule ya binafsi iliyopo ndani ya wilaya ya ubungo kwa ajili ya kufanya field mwezi wa saba! naomba kama kuna mwenye kufaham shule yoyote au mwenye mawasiliano ya shule yoyote inayoweza kunipokea anisaidie tafadhali.
nawasilisha!!