Kuna vyuo vya ualimu vinatoa matangazo kuwa, iwapo mtahiniwa hana sifa za ufaulu kuingia stashahada (diploma) atasoma kozi fupi (bridging course) baada ya hapo atakuwa na sifa ya kuendelea na diploma. Naomba ufafanuzi kwa mwenye uelewa wa hili suala.
↧