Quantcast
Channel: Jukwaa la Elimu (Education Forum)
Browsing all 21927 articles
Browse latest View live
↧

Msaada tafadhali kuhusu matokeo haya

Anaweza kusomea nini kwa matokeo haya. 1.Civics-D 2.History-D 3.Geography-D 4.Kiswahili-C 5.Biology-F 6.B/Math-F 7.Physics-F 8.Chemistry-F 9.English-D Division four ya 29 mwaka 2010. Kurudia amekataa

View Article


Tofauti kati ya bachelor degree na higher diploma

Kuna tofaut gani kati ya bachelor degree na higher diploma ? Nimeaona wote ni nta level 7, je higher diploma akimaliza anaweza kusoma masters,pili wote wakimaliza chuo wanaajiriwa cheo kimoja?

View Article


Anataka kusomea Ufamasia au Physiotherapy

Salam ndugu, nina mdogo wangu alimaliza form four mwaka 2006,akapata matokeo yafuatayo:- Civics-B, Kisw-D, English-D, History -C, Chem-B, Bios-B, Agriculture Science-C, Geog-D Math-F. Alichaguliwa...

View Article

Habari njema kwa walimu wanaosubiri ajira

Naibu Waziri Ofisi Ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Selemani Jafo, amewatoa hofu wahitimu wa Kozi ya Ualimu ambao wamekuwa wakisubiri ajira kwa muda mrefu. Akizungumza na...

View Article

How to read and study textbooks

Reading and Studying Textbooks: As soon as you buy your textbook for a class, give yourself a head start before going to class. Read the Table of Contents, prefaces, introduction, and any other...

View Article


ushauri hp

nimegushi sahii kene clearance form nlikua nataka cheti xaxa nkakamatwa da ticha kakinukisha ... cjui nfanyaje

View Article

Mbinu za kutozungumza broken English

Zipo mbinu nyingi sana za kufuta au kupunguza kuzungumza au kuandika broken English. Ni vizuri kutoa mbinu kulingana na broken husika. Hivyo, andika au uliza kwa Kiingereza ili tuangalie broken ipo...

View Article

Kukosekana kwa orodha ya baadhi ya vyuo NACTE (CAS)

Nilikua namjazia jiran angu vptaarifa zake kwa ajir ya kuvhagua vyuo ila kwenye kujaza vyuo na kozi ndipo naona vyuo kama UDOM, MUCE, MWENGE havipo na ni kozi za BED au BAED shida nn

View Article


HELSB, OLAS bado hawajaanza kupokea maombi ya mikopo 2016/2017

Hii habari ni kwa ajili ya wanafunzi wote waliomaliza form six mwaka huu ambao wanataka kuapply loans board ili waweze kupata mkopo kwa ajili ya mafunzo elimu ya juu. Hali ni iko ivi loans bodi bado...

View Article


Sekondari Kongwe za Umma Kurejeshewa Makali yake.

Serikali imeeleza mkakati wa kuzirudisha shule 33 maarufu katika ubora wake ili ziweze kufanya vizuri kama ilivyokuwa zamani. Mkakati huo ulielezwa jana na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na...

View Article

NEW ECONOMICS BOOK

Kwa wanafunzi wa Kidato cha 5 wa sasa na wale wanaotarajia kuanza kidato cha 5 mwezi Julia, 2016, Kitabu kipya cha somo la ECONOMICS kimetoka kwa paper 1. Kinafuata Syllabus mpya ya mwaka 2009. Unaweza...

View Article

DAR ES SALAAM INSTUTE OF TECHNOLGY vs ST JOSEPH COLLEGE OF ENGEERING

heshima kwenu wa janvini...niko katika optional za kusoma moja wapo ya vyuo tajwa hapo juu sasa bado sijajua kipi n best kwa engeenering..japo sijapata sifa za vyuo vya mbali kama MUST na...

View Article

SPONSORSHIP ZA VYUO VYA KILIMO

habarini wadau kuna vyuo vya kilimo mf.igirusi mbeya wametoa sponsorship kwa ngazi ya diploma hivi mtu akipata hiyo je anaweza akaajiriwa ama soma uondoke tafadhari wenye kujua hili waje kunipa ushauri...

View Article


Acturial science vs Accounting

Wana Jamvi, ningependa kujua kama mwanafunzi aliyesoma ECA, au Diploma in Accouting (GPA 4.7)..kama ataweza kuingia Acturial science UDZM... Kama haiwezekana... Bcom in accounting UDZM.. Bsc A & F...

View Article

Mwanafunzi wa diploma ya nursing and midwifery anaruhusiwa kusomea degree ya...

Habarini za mchana ndugu zangu!!Nilikuwa nauliza ya kwamba nurse au midwifery anaruhusiwa kusomea doctor of medicine

View Article


Kwa matokeo haya anaweza kusoma diploma in Accounting?

Habari wakuu. Naombeni msaada kuna dogo amemaliza form 4 akapata div Two with Credit in Maths, Book Keeping, and Commerce sasa anataka kuanza Diploma in Accounting mwaka huu. Je anaweza kupata...

View Article

Msaada ku kuomba scholarship waliosoma law open university of Tanzania

Habari za leo ndugu, kuna ndugu yangu alimaliza bachelor ya law open university of tanzania yupo kijijini kaniomba nimuangalizie mkopo kaniambia almost wote wanapewa na wanakua favoured hasa wale...

View Article


NACTE watangaza waliokosa nafasi-afya april intake 2016

Zaidi ya waombaji 1900 waliyoomba kozi za afya INTAKE YA APRIL hawakuchaguliwa kwa kozi walizoomba. Muda wa maombi umesogezwa hadi 26/4/2016 ili wajaribu kuomba kwenye vyuo ambavyo bado vina nafasi....

View Article

Msaada wakutambua cheti kilichoibiwa kinakotumika kwa sasa.

Kama maada inavyojieleza hapo juu mie ni mhanga wa hiyo kitu cheti changu cha kumaliza kidato cha nne (academic certificate) sikubahatika kukiona na hii ni kwasababu pindi vyeti vinatoka nilikua shule...

View Article

Wizara ya elimu vipi juu ya mtaala mpya wa kkk kwa madarasa ya awali 1 na 2

Wizara na serikali ilifanya mabadiliko ya sera, ikafuatiwa na mabadiliko ya mtaala wa darasa la kwanza na la pili wa mwaka 2015 ambao unazingatia lugha rahisi kujifunza na umahiri wa mtoto kiujuzi na...

View Article
Browsing all 21927 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>