Habari za leo ndugu,
kuna ndugu yangu alimaliza bachelor ya law open university of tanzania yupo kijijini kaniomba nimuangalizie mkopo kaniambia almost wote wanapewa na wanakua favoured hasa wale waliosoma palepale open university.
plz naomba nisaidie hili nipe link au niambie ni site gani wa apply nimsaidie ndugu yangu ili asome post graduate yake ye mwenyewe hajanieleza vizuri i hope mtanisaidia katika hili nisipoteze mda.
natanguliza shukrani.
kuna ndugu yangu alimaliza bachelor ya law open university of tanzania yupo kijijini kaniomba nimuangalizie mkopo kaniambia almost wote wanapewa na wanakua favoured hasa wale waliosoma palepale open university.
plz naomba nisaidie hili nipe link au niambie ni site gani wa apply nimsaidie ndugu yangu ili asome post graduate yake ye mwenyewe hajanieleza vizuri i hope mtanisaidia katika hili nisipoteze mda.
natanguliza shukrani.