Quantcast
Channel: Jukwaa la Elimu (Education Forum)
Browsing all 21927 articles
Browse latest View live
↧

Naomba kujua ada za shule ya Tusiime

Wadau naomba kufahamu gharama za ada zinazotozwa na shule ya msingi/ sekondari Tusiime kwa anayejua (day&boarding).

View Article


Kati ya Udaktari na Uinjinia taaluma ipi inalipa zaidi

Kwanza nawasalimu wote na ninawatakia weekend njema. Back to the topic. Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali kuhusu taaluma hizi mbili zenye mvuto sana, hasa kwa vipanga wengi ambao huziota kila...

View Article


Kwa wale mnaopokea mikopo boom na hela ya kujikimu chuoni tumieni vizuri

Kwa wale mnaopokea mikopo boom na hela za kutosha kutoka nyumbanj tafadhali tumieni vizuri jamani wengine tunatafuta hata wa kutupa walau buku kumi chuoni tunakosa. Na wenyewe mnajua maisha ya chuo...

View Article

Mwaka 1998, nini kilitokea mpaka serikali ikaamua kurudia mtihani wa taifa?

Juzi kati niliota kuwa mtihani wa form six unarudiwa,tatizo aliyetangaza si waziri huyu(Prof Ndalichako). Hii ya kuota inaweza kuwa imechangiwa na kusikia kuwa pepa imevuja sana hivyo akili kuforce...

View Article

boom

Kulikon kwa wasomi WA diploma Na degree wenye D flat kuhusu boom?

View Article


USHAURI WADAU

Wadau kwa combination ya EGM chuo naweza kusomea kozi gani nzuri Naombeni ushauri kwa Mnaojua[emoji621]

View Article

JKT kwa mujibu wa sheria kwa wahitimu wa kidato cha sita 2016 sasa ni rasmi...

Muda wa kuripoti kwenye kambi uliyopangiwa ni kati ya tarehe 1 na 5 mwezi wa sita, mafunzo ni ya miezi mitatu. kila la heri. View attachment 349596 View attachment 349597 Majina yanapatikana hapa...

View Article

Mwanafunzi, Weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie...

View Article


Hawa NACTE wanaibia watu au nini hiki?

Kupitia CAS ya NACTE deadline applications za degree mwisho mei 31 mwezi huu,ukianza kuaply katka ile hatua ya kuchagua chuo, list ya vyuo vikuu haiji.Hata taarifa ya mabadiliko yoyote hawajatoa kwenye...

View Article


Naweza kwenda JKT ilhali sijachaguliwa?

samahani wakubwa kuna hili suala linatutatiza huku mtaani ....kwamba je mtu anaweza kwenda JKT hata kama hajachaguliwa lakin nae kahitim kdato cha sita mwaka huu......ASANTENI

View Article

Kwa comb ya EGM unaweza soma kozi gani nzuri wadau Ushauri

[emoji433] [emoji432] [emoji430]

View Article

SELECTION KIDATO CHA TANO 2016

naombeni Masada wenu wana jukwaa kwa anayefahamu selection lini atujuze coz tumesubiri sana

View Article

selection za form four

nisaidie hiv selection hutoka Lin kama kawaida

View Article


Dr Ndalichako mwarobaini wa elimu ya Tanzania

Ni wazi kuwa siasa ilikuwa imevamia elimu ya Tanzania. namuomba waziri wa elimu mpya aweke mambo sawa

View Article

SERIKALI IMULIKE ZAIDI VYUONI.

Nasikitika sana kusema kuwa vyuo vikuu vyetu, hasa vya serikali, vina madudu mengi sana! Vyuo hivi vinanyanyasa sana wanafunzi kwa namna tofauti. Mfano ni chuo fulani kikubwa huko Dodoma. Napata hisia...

View Article


Jipu limeiva chuo cha institute of adult education

Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,Ndugu wana jukwaaa namasikitiko makubwa na chuo hiki kinavowatesa watoto wa masikini kwa kuwacheleweshea hela zao za maraz toka loan bord hata pia wakisaini pesa hizo...

View Article

Mwenye taarifa sahihi za udom atujuze

Kwa taarifa kuwa wanafjnzi 7000 kusimamishwa mosomo na kuamuriwa kurud majumbani

View Article


Kwa nini walimu wengi wanaotokea DUCE na MUCE wawapo field au kazini...

Habari zenu wakuu? Kama kichwa cha thread kinavyojipambanua kwa nini hawapendi kujitambulisha kwa kutaja majina halisi ya branch zao? Mwenye kujua sababu tafadhali tiririka kidogo

View Article

Kukosekana kwa orodha ya baadhi ya vyuo NACTE (CAS)

Nilikua namjazia jiran angu vptaarifa zake kwa ajir ya kuvhagua vyuo ila kwenye kujaza vyuo na kozi ndipo naona vyuo kama UDOM, MUCE, MWENGE havipo na ni kozi za BED au BAED shida nn

View Article

Udom

Special diploma tumerudishwa nyumbani mpaka serikali itakapo toa mstakabali wa masomo yetu, hivi serikali ilikuwa haijajipanga kwel au ndio tumeshatemwa kisiasa?

View Article
Browsing all 21927 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>