Quantcast
Channel: Jukwaa la Elimu (Education Forum)
Browsing all 21927 articles
Browse latest View live
↧

HAPA KUNA SELECTION JMN

Duuuh huyu dogo anatisha je kwa results hizi atachaguliwa kweli kwa haya matokeo DIV III 25 CIV D HIST D KISW C CHEM C ENG C GEO D BIOS D PHYS F B /MATH D

View Article


DSM MLIMANI TEACHERS COLLEGE

naombeni kwa anaye kufahamu hiki chuo anipe ufafanuzi na je kipo jirani na UDSM na veep kuhusu taaluma kinafaa kuchukua DIPLOMA IN PRIMARY EDUCATION kwa mtu mwenye dv3

View Article


MSAADA

Nimesoma uganda sasa naitaji kusoma hapa chuo je unavyoomba nacte baadae unapeleka cheti chuoni au kopi ya cheti?

View Article

Hili liko sahihi wanajamvi?

Wasalaam, Iko hivi, kuna shule moja ya msingi hapa mjini wa darasa la sita wameagizwa waende shule na kondom na ndizi kwa ajili ya practical ya somo la sayansi kujifunza jinsi gani ya kutumia kondom....

View Article

UDOM

UDOM...majipuuu wenye vyeti fekii wamerudishwa nyumbanai

View Article


Njaa kali saana! boom jaman kulikoni

serikali na wizara ya elimu wamelala sasa, wiki ya 10 inaelekea wana UDSM hawana boom sijui wahusika wanalitazamaje hili, au mpaka maandamo ndo watumbuliwe? tumechoka na unafiki wa hapa kazi tu pasipo...

View Article

Vyoo vya UDSM vinatia aibu (95% vimeziba)

Nikiwa nimejiunga UDSM mwaka huu kwa ajili ya kuongeza Elimu toka nimeingia hapa mtu ukibanwa na haja inabidi ujifikirie mara mbili ama uende porini (Hasa Pori lile la Kuelekea Changanyikeni au...

View Article

Selection kidato cha tano 2016 zinatoka lini?

Naombeni Masada wenu wana jukwaa kwa anayefahamu selection lini atujuze coz tumesubiri sana

View Article


Msaada wa vitabu vya Auditing theory and practice.

Habari zenu wanajukwaa.. naomba mwenye kujua vitabu hivi vya Auditing vya kufundishia. Tafadhali kwa anayevifahamu vile vizuri zaidi naomba mnitajie. Wakuuu.. najua wataalam wa sector iyo wapo tele...

View Article


Hili la kwenda shule na condom na ndizi liko sahihi wanajamvi?

Wasalaam, Iko hivi, kuna shule moja ya msingi hapa mjini wa darasa la sita wameagizwa waende shule na kondom na ndizi kwa ajili ya practical ya somo la sayansi kujifunza jinsi gani ya kutumia kondom....

View Article

Nimesomea HGE,Naomba ushauri

Kwa mtu aliyesoma HGE anaweza kusomea nini chuo

View Article

Chuo kipi kizuri kusoma Diploma in primary education

Jamani naombeni Masada wenu mnao vifahamu hivi vyuo kipi kipo powa Kati Ya MLIMANI TEACHERS COLLEGE, MOROGORO TEACHERS COLLEGE AND KOROGWE TEACHERS COLLEGE

View Article

Msaada: Kuhusu chuo cha Mlimani Teachers College

Naombeni kwa anaye kufahamu hiki chuo anipe ufafanuzi, Je? kipo jirani na UDSM na veep kuhusu taaluma kinafaa kuchukua DIPLOMA IN PRIMARY EDUCATION kwa mtu mwenye Division III

View Article


Utaratibu wa kuhama wilaya kwa walimu

Ndugu wanajamvi naomba utaratibu wa kuhama wilaya kuhamia wilaya nyingine bila kubadilishana mtu kwa MWALIMU.

View Article

Biomedical Equipment Engineering

habari watanzania.nmechaguliwa coz tajwa hapo juu,pale dit,diploma.ila kuna ndugu huku ananishaur nikabadlshe na kusoma civil.anasema hailipi.kwa wanaoifaham vp soko lake?inalipa au nichanje mbuga?

View Article


Looking for University Physics book

Habari wana JF, kwa yeyote mwenye kitabu cha university physics 13th edition kilichoabdikwa na roger freedman na anahitaji kukiuza au anajua mahala panapouzwa hicho kitabu anijuze

View Article

Wadau Mfano unasoma Art's na Matokeo ya O-level ukafaulu HGL, HKL, HGK na...

Na Unaplan ya kusoma EGM Je, kusoma combination unayotaka ni uamuzi wako au serikali inakupangia combination wanayoitaka au inakuwaje yaan katika swala la kwenda A-level inakuwaje mpaka upate...

View Article


Bodi ya mikopo (HESLB) kunani??

Bodi ya mikopo (Heslb) mpaka sasa hawajatoa fomu au maelekezo kwa wahitimu kidato cha sita 2016 na watu wengne wenye uhitaji wa ufadhiri wa masomo kwa mwaka wa masomo 2016/17 tofaut na ilivyozoeleka...

View Article

Juliana Shonza: Kigezo pekee cha kutoa mikopo kiwe ni ufaulu

Shonza amedai wale wanaostahili kupata mikopo hawapati na wale wasiostahili mara nyingi huwa ndio wanaopata, amedai pia bodi haijajitambua kuwa ule mkopo wanaotoa ni mkopo au hisani ndio maana vigezo...

View Article

Madaraja ya walimu yanapanda kwa utaratibu gani?

Nimetafuta kujua utaratibu wanaoutumia waandamizi tsd ni vigezo gani wanatumia kubadili madaraja ya waalimu naona sielewi vizuri naomba kujulishwa......

View Article
Browsing all 21927 articles
Browse latest View live