Kwanza nawasalimu wote na ninawatakia weekend njema.
Back to the topic.
Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali kuhusu taaluma hizi mbili zenye mvuto sana, hasa kwa vipanga wengi ambao huziota kila siku.
Lakini sasa sijapata uhakika ipi inaheshimika sana, inalipa zaidi na ipi inapendwa na watu wengi au ipi watu wake hukubalika sana. So ningependa wanajukwaa tujadili from your own experience, karibuni
Back to the topic.
Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali kuhusu taaluma hizi mbili zenye mvuto sana, hasa kwa vipanga wengi ambao huziota kila siku.
Lakini sasa sijapata uhakika ipi inaheshimika sana, inalipa zaidi na ipi inapendwa na watu wengi au ipi watu wake hukubalika sana. So ningependa wanajukwaa tujadili from your own experience, karibuni