Quantcast
Channel: Jukwaa la Elimu (Education Forum)
Browsing all 21927 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simple question, what is the answer?

View Article


Fani ambazo ni adimu sana Tanzania

Wasalaam wana JF. Juzijuzi nilimsikia rais akitamka kuwa tunao wataalam wachache sana (takribani wa nne) nchi nzima wa maswala ya moyo. Ambapo alisema wawili wapo Muhimbili, mmoja Bugando na mwingine...

View Article


Program ya kuchorea raman

Guys program gan ya pc nzur kwa kudesign raman za house

View Article

Nimechoka kusubiri ajira za walimu

Nimekuwa kufarijiwa kwa muda mrefu kuwa nivumilie ajira za walimu zitatoka mapema. Ila sasa mpaka nimekata tamaa maana wanasiasa ni kawaida yao maneno mengi mwaka unaisha tunaingia mwaka mwingine mambo...

View Article

Vyuo vya Ufundi, Taarifa Muhimu kwa wanaopenda kujiunga

Hii ni thread maalumu kwa wale form four wote wenye kutamani kujiunga na vyuo vya ufundi Vyuo hivyo ni Dar es sallam institute of technology(DIT) Mbeya university of technology(MUST) Arusha technical...

View Article


Vyuo vinavyotoa Masomo kuanzia Mchana au Jioni Kwa kada ya Uhandisi.

Naomba kufahamu vyuo vinavyofundisha kozi za uhandisi kama "Diploma" in (Civil, Electrical, Water Eng, Mechanical,Computer etc) ambavyo mwanafunzi anaweza soma asbh na ratiba nyingine wanaweza kuingia...

View Article

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu

Hivi inachukuwa mda gani kufunguliwa kwa system ya kuapply mikopo baada ya mtihani wa kidato cha sita naombeni msaada

View Article

NAOMBENI USHAURI WAZEE WENZANGU

nina mdogo wangu ambae amemaliza kitado cha nne 2012 hakufaulu vizuri kipindi hicho alipata vi d vitatu kwa maana hiyo alipata 4 point 32 nahitaji kumsaidia huyu kijana ambae lengo lake ni kuwa...

View Article


Wahasibu(accountants) tukutane hapa

Habari wakuu,tupo miongoni mwetu wahasibu ambao wamekwishaajiliwa ama kujiajili,lakini tupo wale ambao tumehitimu mafunzo ya uhasibu na tunatafuta ajira,bila kusahau wale ambao bado tunasoma...

View Article


Maombi ya vyuo vikuu na mikopo kwa waliomaliza diploma yanaanza lini?

Mambo zenu wadau kwema jamani nahtaji anaejua juu ya mchakato wa uombaji wa vyuo vikuu na mikopo pia kwa walimaliza diploma mwaka Jana je wameshaanza kuomba au bado

View Article

Combination ipi kati ya hizi inalipa?

Kati ya combination hizi; HGL,HKL,HGK,HGE ipi itanitoa kimaisha?

View Article

Mwanafunzi, Weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie...

View Article

Msaada katika hilo swali.

Analyze the significance role of indirect rule and indirect rule in the colonial domination of Africa.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

chuo bora

hapo ni sehemu ya kupata elimu na kujifunza mengi juu ya soko la ajira na namna gani ujikwamue ...karibu mafinga collge fanya maamuzi sasa hujachelewa ...karibu mjuze na mwingine

View Article

msaada

Wakuu naomba msaada kwa mwenye ujuzi na hili, naulizia Shule ya bweni/day yenye ada nafuu sana, kuanzia laki 7 kushuka chini ambayo nitaweza kumsomesha kijana wangu kuanzia form 2 mpaka4 Iwe ya Boys,...

View Article


Bodi ya Mikopo watafungua lini mtandao wao?

Jamani naomba kujua kama OLAS ni lini watafungua mtandao

View Article

Utaratibu wa walimu kubadilishana vituo vya kazi

Naomba kuuliza jmn. Utaratibu wa jambo hili ukoje hasa ktk mda wa kukaa kazin. Mf kwa mwalimu mwenye kwaka mmoja kazini anaruhusiwa kubadilishana baada ya kuthibitishwa kazin?

View Article


Msaada chuo cha sheria ngazi ya cheti.

ndugu wanajamvi kama kichwa habar knavyojieleza, naomba msaada wenu wa kuvijua vyuo vya sheria kwa ngaz ya cheto coz kunamdogoangu almalza kdato cha nne mwaka 2012 xo anataka akajiunge mwaka huu na pia...

View Article

JE HUU UVUMI NI WAKWELI? NAHITAJI KUFAHAMU WADAU

Habari wana Jf.! Nilisikia tetesi kuwa mwaka huu atakayepata division 3 kidato cha sita hataweza kujiunga na vyuo vikuu vya serikali na ataanza na level ya diploma na si degree. Je hii ni kweli? Kwa...

View Article

Kwa aliyesoma/anasoma National Meteorology Training Centre Kigoma

Km wew umesoma hicho chuo au unasoma mpaka sasa naomba unipm kupitia 0767874060 kuna kitu nataka kujuzwa

View Article
Browsing all 21927 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>