ndugu wanajamvi kama kichwa habar knavyojieleza, naomba msaada wenu wa kuvijua vyuo vya sheria kwa ngaz ya cheto coz kunamdogoangu almalza kdato cha nne mwaka 2012 xo anataka akajiunge mwaka huu na pia ntashukuru kama ntapata na contact za vyuo hucka au njia nyingne yeyote ya kuweza kupata fomu na utaratibu wa vyuo husika, natangulza Shukran Kwa Wote Watakaonisaidia+mchana Mwema Kwa Wote.
↧