Quantcast
Channel: Jukwaa la Elimu (Education Forum)
Viewing all 21927 articles
Browse latest View live

Ifunda Technical Secondary School tukutane hapa

$
0
0
Habari,
Nimeunda uzi huu ili wanafunzi na wadau wote wa Ifunda Tech. Tuweze kushare moments.....
Karibuni sana tushirikiane

Form Five(5) wote 2015-2016 tukutane hapa

$
0
0
kwa wanafunzi wote wa kidato cha tano 2015-2016 ambao ni kidato cha sita watarajiwa kuanzia mwezi JULY

tukutane hapa.
kwa maswali!
kwa ushauri
kwa maoni
kwa tetesi!
na mengineyo

KARIBUNI TUJADILI

Zimebaki siku 45 udahili NACTE ufungwe, ewe uliyeomba kozi za Afya zingatia haya usije ukajuta

$
0
0
Sabakher;
Udahili Unafungwa Tarehe 31/05/2016
Zimesalia Siku 45.

Ewe Mwanafunz Unayeomba Kozi Za Afya! {Nursing, Physiotheraphy, Clinical Medicine, Dentist. Lab Tech, Community Health} Usije Ukakurupuka Ukajaza Vyuo Vyenye Majina Vya Serikali Ukiwa Kama Una Ufaulu Wa Manat Au Kamili Yaani: Kwa Diploma {CHEM-C, BIOLOGYP-C PHYS-D} halafu Masomo Mengine Kama Math, English! Umezingua! Then Unaenda Unajaza MUHIMBILI, KILOSA COTC, MAFINGA COTC, Au Chochote Cha Serikal Diploma Kisa Wewe Una C mbil...

Zimebaki siku 45 udahili NACTE ufungwe, ewe uliyeomba kozi za Afya zingatia haya usije ukajuta

Aina gani ya PC/laptop nzuri

$
0
0
Habar zenu wanaJF, samahani sana ndugu zangu,naomba kujuzwa kuhusu hizi PC ni aina gan nzuri. Nataka kununua ila sitaki kubambikwa kitu kibaya. Samahani kwa usumbufu

Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

$
0
0
Kwa kipindi hiki ambacho matokeo ya kidato cha nne yametoka wanafunzi, wazazi na jamii kwa ujumla wanakuwa na maswali mengi kuhusu namna ya kuchagua shule, masomo au fani gani ya kusomea.

Nimekuwa mwalimu mwandamizi, mkufunzi na msomi sasa wa uongozi wa elimu ya juu. Kwa kushirikiana na wadau wengine wa elimu humu, Karibuni kwa maswali na ushauri ambao unaweza kukusaidia kwenye mafanikio katika sekta ya elimu Tanzania.

MADARAJA
[TABLE="class: grid,...

Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

Msaada dharura please

$
0
0
Kwa mtu aliesoma art je anaweza kusomea kazi gani gani.?

Bachelor of arts in library and information studies

CISA (Certified Information Systems Auditor Starts on 02/05/2016

$
0
0
True Ink Associates would like to announce the CISA (Certified Information Systems Auditor) review class will start on 02/05/2016 at DSM City Center Raha Tower Building .The course duration is 5 weeks, three hours a day from 1700-2000 hrs Monday to Friday. Course fee is 700,000/= including manuals and database for questions answers and explanations .For those who are preparing for CISA June/September or December 2016 are warmly welcomed.

Topics...

CISA (Certified Information Systems Auditor Starts on 02/05/2016

Kubadilishana kituo cha kazi

$
0
0
Mimi Mwl. Bethuel Sikawa idara ya sec.... Nafta mwl wa kubadilshana... Yeye aje wilaya ya Ngorongoro na mimi nije :- meru, arusha vijjn, arusha jj au karatu

Habari njema kwa walimu wanaosubiri ajira

$
0
0
Naibu Waziri Ofisi Ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Selemani Jafo, amewatoa hofu wahitimu wa Kozi ya Ualimu ambao wamekuwa wakisubiri ajira kwa muda mrefu.

Akizungumza na mtembezi.com leo Jijini Dsm Naibu Waziri Jafo amewataka wahitimu hao kuwa na subira kwani ajira hizo zitatangazwa muda wowote kutoka hivi sasa, huku akiwahakikishia kuwa wizara yake kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu wamejipanga kuhakiki idadi ya walimu wanaohitajika.

Ameongeza kuwa licha ya...

Habari njema kwa walimu wanaosubiri ajira

Jamani post za walimu zinatoka lini?

Naomba msaada mchanganuo wa ruzuku mashuleni (captation grant)

$
0
0
Naomba msaada juu ya matumizi ya ruzuku(captation grants) 50% kutumika katika ununuzi wa vitabu vya kujifunzia na kufundishia, maana mkuu wa shule yetu anadai 50% ya ruzuku bado serikali haijatuma na hatujui ni lini pesa hiyo itatumwa. Je shuleni kwenu mnafanyaje maana tunaogopa matumizi mabaya ya pesa za shule. Tangu mwezi januari hatujanunua vitabu na shule haina vitabu vya kutosha. Hapa chini naambatanisha picha juu wa waraka wa elimu na matumizi ya ruzuku hiyo....

Naomba msaada mchanganuo wa ruzuku mashuleni (captation grant)

Source sahihi ya taarifa hasa historia za watu na vitu ni zipi?

$
0
0
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikitaka kujua kwamba taarifa sahihi nnaweza kuipata katika mtandao upi maana mitandao mingine huwa na upotoshaji ama kuondoa baadhi ya ukweli flani .. nashukuru kwa wakati wenu mlionipa hivyo naomba tujuzane

waliosoma sengerema high school tukutane hapa wakuu

$
0
0
[emoji11] [emoji11] [emoji11] [emoji10]

Kuhusu kozi ya kusomea chuo kikuu, Nimesomea PCM

$
0
0
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nilimaliza kidato cha nne mwaka 2002 na kufanikiwa kupata division1 ya 14 na nikafanya Advance level mwaka 2006 PCM na kupata division 2 ya 12 (Phy E, chem C na Advance math E) baada ya kumaliza form6 nilipata tamaa ya kusafiri kwenda kutafuta maisha ughaibuni lakini mambo yangu hayakwenda kama nilivyotaka niliishia kubeba box na sikufanikiwa kupata permit ya kuishi.

Now nimerudi hapa nyumbani Tanzania na nimeona kitu ambacho kinanitoa kwa upande wangu...

Kuhusu kozi ya kusomea chuo kikuu, Nimesomea PCM

Waliosoma Makongo High School karibuni

$
0
0
habarini wana JF, napenda kuwakaribisha wadau waliosoma Makongo high school enzi hizo tukumbushane mambo mbalimbali ambayo kwa namna flani yalikufanya kutosahau maisha ya pale, mimi mpaka kesho siwezi kumsahau afande Miraji (marehemu sasa) alinipiga konzi mpaka nikakaa chini kwenye sakafu badala ya kiti, vilevile siwezi kusahau JORO nilikuwa mdau mkubwa, karibuni wadau na nyinyi mtoe ya kwenu...........

Somo la Physics, Chemistry Mazengo Secondary

$
0
0
Siku ya kwanza Mwalimu wa Physics advance anaingia darasani (Mazengo secondary), anajitambulisha kwa jina anaitwa MKOMA. Anaongea mambo mengi ya kujenga na kuongeza ufaulu, anazungumzia Timed test dah napata shauku kubwa sana nagundua kuwa ndoto zangu za kupiga div 1 ya point tatu na kutia heshima TZ nikiwa TO kutoka PCB zinakamilika.

Khaaa Imani inaniisha napatwa na mashaka siku iliyofuata siku ambayo mwalimu Mkoma anakuja kufundisha rasmi, aysee mwalimu wa Physics ana chaki tano kila...

Somo la Physics, Chemistry Mazengo Secondary

Walimu Kigoma Manispaa mbona hatupewi barua za kupanda daraja?

$
0
0
Kweli ualimu wito sio ajira mana watu wanafanya wanavyotaka tuu, nakatishwa tamaa sana na hii kada ya ualimu kimsingi Walimu wa kigoma manispaa tulioajiriwa 2012 hatujapewa barua za kupanda madaraja mpaka sasa ijapokuwa wenzetu wa halmashauri zingine wameshapewa barua za kupanda daraja kuanzia Kigoma vijijini,Kasulu na Kibondo ukiachilia mbali mikoa mingine mingi kama Geita waliopandishwa mwaka jana Kahama mapema mwaka huu Makete nk.

Kuona hivyo tukashtuka na kuanza mikakati ya kufahamu ni...

Walimu Kigoma Manispaa mbona hatupewi barua za kupanda daraja?

Nisome PCB au CBG, A-Level

$
0
0
Wakuu nahitaji msaada wenu Mimi ni kijana niliyemaliza mwaka 2015 kidato cha nne lengo langu kubwa lilikuwa ni kwenda advance kuchukua pcb lakni katika kufuatilia watu wengi wanaosoma pcb wamekuwa wakipoteza ndoto zao za kuwa madaktari hasa katika somo la physics hvyo nimeamua nikasome cbg je wakuu ntakuwa na future nzuri baadae kama nikisoma cbg[​IMG]

Ni shule zipi za sekondari O-level za wasichana za bweni?

$
0
0
Ninaye mdogo wangu ambaye yuko Morogoro sec day kidato cha pili, mazingira yameshindwa kuwa rafiki kwake kiasi yanaathili matokeo yake, nafikili kumuhamishia shule ya serikali ya wasichana ambayo ni ya bweni O-level. Naomba msaada wa ni shule zipi tunaweza kupata huduma ya namna hii.
Viewing all 21927 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>