Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nilimaliza kidato cha nne mwaka 2002 na kufanikiwa kupata division1 ya 14 na nikafanya Advance level mwaka 2006 PCM na kupata division 2 ya 12 (Phy E, chem C na Advance math E) baada ya kumaliza form6 nilipata tamaa ya kusafiri kwenda kutafuta maisha ughaibuni lakini mambo yangu hayakwenda kama nilivyotaka niliishia kubeba box na sikufanikiwa kupata permit ya kuishi.
Now nimerudi hapa nyumbani Tanzania na nimeona kitu ambacho kinanitoa kwa upande wangu...
Msaada wa haraka kuhusu kozi ya kusomea chuo kikuu, Nimesomea PCM
Now nimerudi hapa nyumbani Tanzania na nimeona kitu ambacho kinanitoa kwa upande wangu...
Msaada wa haraka kuhusu kozi ya kusomea chuo kikuu, Nimesomea PCM