Wasomaji wa Vitabu
Ni mara yangu ya kwanza kuingia jukwaa la elimu lakini nimekuwa msomaji wa masuala mbalimbali ya elimu kama yanavyowasilishwa jukwaani. Wanabodi mimi nimehamasika kwa kipindi kuwa msomaji wa vitabu...
View ArticleKaribu Chuo cha Kilimo na Mifugo Kaole
Njoo jiunge na chuo cha kilimo na mifugo kaole wahi sasa nafasi ni chache kwa wanafunzi wa kidato cha nne na sita.
View ArticleMWANAFUNZI: Weka swali linalokusumbua, Walimu humu wakusaidie
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie...
View ArticleMWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa
Waliopangiwa Geita, wilaya ya Bukombe, au mtu yeyote yule anayeifahamu vizuri hiyo wilaya aniisaidie Mphamvu said: ↑ ​ Kutokana na walimu wengi wapya kuuliza mazingira na taarifa za msingi za mahali...
View ArticleMwalimu wa CISA anapatikana
Kwa wale wanaopenda kusoma tunawajulisha kuwa mwalimu wa kufundisha kozi mbalimbali za IS Audit, security, risk assessment and risk management, conrols,governance, Value for money Audit, performance...
View ArticleHakuna namna, ualimu ndio njia ya kutokea
Habari za wakati hu bila shaka nyote ni wazima wafya katika ubora wenu, nasikia tu kutoka kwa watu eti ualimu ni njia yakutokea hakuna namna. Kwa maana umeingia kwenye hii fani ukiwa na maudhui yako...
View ArticleKauli ya "Ualimu ni Wito" inachangia kuua elimu
Kwa mda mrefu Tanzania kauli ya kwamba Kazi ya ualimu ni wito imekuwa ikitumika na kwa mazingira ya sasa inachangia kuua elimu yetu.Wito ni kufanya kitu kwa kujitolea bila malipo yeyote kwa...
View ArticlePublic Health in Kenya
Nahitaji kusoma bachelor of public health nchini kenya. Naomba ushauri katika mambo yafuatayo; 1. Vyuo vizuri vinavyotoa kozi hiyo. 2. Gharama na Jinsi ya kujiunga kwa Foreigner. 3. Mwaka wa kuanza...
View ArticleNaomba kufahamu kuhusu Diploma ya Clinical Officer, MUHAS
Habari wakuu. Nimemalza kdato cha 4, 2013, na nimescore div one ya 12 {A ya bios na math, zlozobak B+ kasoro civic ndo B}ila kutokana na matatzo ya kiafya nilisoma kwa miez miwili 2,mpaka juz kat hapo...
View ArticleWalimu waliojiendeleza kwenye TEHAMA
Kuna walimu ambao katika kujiendeleza kielimu wamesomea ujuzi au fani ambazo ni tofauti na ualimu ikiwa ni pamoja na waliosomea IT. Hapa ninamaanisha kwamba mwalimu aliajiriwa akiwa na elimu ya ualimu...
View ArticleBodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu tusaidieni
Ndugu zangu bodi ya mikopo hili tatizo letu la mikopo ilioenda sehem nyingine na tulipochaguliwa mmefikia wapi kulitatua njaaa inatuuuma sana ,kuna wengine ni watoto YATIMA mnategemea waishije?Mlitoa...
View ArticleLogistic and Transport Management, National Institute of Transport
The courses equip graduates with skills to work in the logistics and transport industry. Major activities involve transportation of cargo through sea, air, railways or roads and recording of details of...
View ArticleWALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe. Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email),...
View ArticleMwenye uwezo wa kutengeneza website
Wandugu...natafuta mtu mwenye uwezo wa kutengeneza website. Tafadhali tuwasiliane : kbongole@yahoo.com au inbox huku kwy Jf.
View ArticleNataka kusoma postgraduate ya education open university
Habari wakuu, nilisoma degree yangu ya kwanza kozi ya I.T kutokana na ugumu wa ajira nimefikiria kusoma postgraduate open university kwenye kada ya ualimu chuo kikuu huria, je huku nako ajira ni za...
View ArticleWaziri wa Elimu atinga Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala
Katika hali isiyo ya kawaida waziri wa elimu bw kawambwa atinga kampala int university,ni mishale ya saa nne asubuhi hadi saa kumi na moja jioni,atumia masaa sita kuongea na utawala wa chuo na dk 45 tu...
View Article