Ndugu wanajamvi,Nimesikitishwa sana Rafiki yangu namdai nilimkopesha mtoto wa masikini mkopo wake ulienda mzumbe amefaiti mpaka Tarehe 18 aliusaini pale insititute of adult education ili uingie kwenye account yake lakini ukweli ni kwamba mpaka sasa hela yake haijaingia kwenye account .
Ameenda muuuliza loan officer Jana majibu aliyopewa yanasikitisha sana kwamba ile hela imetolewa na Bodi kwa cheki kwa hiyo asibiri ndani ya mwezi itaingizwa
Ndugu zangu nipeni elimu Mimi kwangu inanipa...
Jipu linalotesa watoto wa masikini IAE.
Ameenda muuuliza loan officer Jana majibu aliyopewa yanasikitisha sana kwamba ile hela imetolewa na Bodi kwa cheki kwa hiyo asibiri ndani ya mwezi itaingizwa
Ndugu zangu nipeni elimu Mimi kwangu inanipa...
Jipu linalotesa watoto wa masikini IAE.