Ndugu wanajamvi hawa Bodi ya mikopo (HESLB) wanasikitisha sana.
Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza, mkopo wangu ulienda UDSM wakati mimi nimechaguliwa chuo kingine.Cha ajabu tokea nianze chuo huwa kuna utaratibu kila baada ya miezi miwili kupata pesa but mpaka sasa nimepata Mara moja tu ile Quarter ya pili ambayo ni Tsh 524,000.
Ile ya Quarter ya kwanza walidai ntaipata semester hii tukifungua.Sasa tumefungua chuo tangu Jumatatu but mimi niko Dodoma leo ndo nakuja Dar.
Leo nilimtuma...
Salamu zangu ziwafikie Bodi ya Mikopo (HESLB)
Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza, mkopo wangu ulienda UDSM wakati mimi nimechaguliwa chuo kingine.Cha ajabu tokea nianze chuo huwa kuna utaratibu kila baada ya miezi miwili kupata pesa but mpaka sasa nimepata Mara moja tu ile Quarter ya pili ambayo ni Tsh 524,000.
Ile ya Quarter ya kwanza walidai ntaipata semester hii tukifungua.Sasa tumefungua chuo tangu Jumatatu but mimi niko Dodoma leo ndo nakuja Dar.
Leo nilimtuma...
Salamu zangu ziwafikie Bodi ya Mikopo (HESLB)