Mkutano wa berlin ulifanyika siku ya jumapili 15/ November /1884 hadi febuary 1885.
Mkutano huu ulijumuisha wajumbe wa nchi 14 za ulaya na wajumbe kutoka USA.
Mkutano huu uliitishwa na aliekua kansela wa ujerumani wa wakati huo chncl Olto von Bismark na ulifanyika katika jiji la berlin nchini Ujerumani
MALENGO YA MKUTANO WA BERLIN :-
1) Kuligawa bara la Afrika kwa njia ya amani.
2) kuzungumzia mgogoro wa eneo la congo basin na niger basin.
3) kupanga mikakati ya kuhakikisha mataifa ya...
Mkutano wa Berlin
Mkutano huu ulijumuisha wajumbe wa nchi 14 za ulaya na wajumbe kutoka USA.
Mkutano huu uliitishwa na aliekua kansela wa ujerumani wa wakati huo chncl Olto von Bismark na ulifanyika katika jiji la berlin nchini Ujerumani
MALENGO YA MKUTANO WA BERLIN :-
1) Kuligawa bara la Afrika kwa njia ya amani.
2) kuzungumzia mgogoro wa eneo la congo basin na niger basin.
3) kupanga mikakati ya kuhakikisha mataifa ya...
Mkutano wa Berlin